KMB Media
Politics

CS Murkomen: Wauaji wa Kasisi Bett Hawataponea

Waziri wa Usalama wa Kitaifa Kipchumba Murkomen ameapa kuwa serikali haitalegeza juhudi zake za kuimarisha usalama hasa Kerio Valley, kufuatia mauaji ya kusikitisha ya Kasisi Allois Cheruiyot Bett. Akizungumza katika eneo la Kobujoi, Nandi, Murkomen amewataka wahalifu waache kusumbua wananchi na pia amewaonya wanasiasa wanaopanda mbegu ya chuki kabla ya uchaguzi wa 2027. Gavana Stephen Sang na viongozi wengine wametaka hatua kali dhidi ya wizi wa mifugo eneo hilo.
#FATHERBETT #BETT

Subscribe to my youtube channel: / @KennedyMurithi001

Watch the latest video: / @KennedyMurithi001

—-Social Media— Twitter : KMB media Facebook: kennedyMurithi.3 Youtube: @KennedyMurithi001

Related posts

UDA MOUNT KENYA MUSICAL CHAIRS HEAT UP AS MURUNGI JOINS RACE FOR TOP SEAT

Gerald Mutethia

UDA MOURNS DEPUTY SG DANIEL OLE SAMBU

Eunice Omollo

Our Channel Chaos & Clashes: Machakos County Assembly Suspends Sittings Over Speaker Impeachment

KMB Media

Leave a Comment