KMB Media
Politics

CS Murkomen: Wauaji wa Kasisi Bett Hawataponea

Waziri wa Usalama wa Kitaifa Kipchumba Murkomen ameapa kuwa serikali haitalegeza juhudi zake za kuimarisha usalama hasa Kerio Valley, kufuatia mauaji ya kusikitisha ya Kasisi Allois Cheruiyot Bett. Akizungumza katika eneo la Kobujoi, Nandi, Murkomen amewataka wahalifu waache kusumbua wananchi na pia amewaonya wanasiasa wanaopanda mbegu ya chuki kabla ya uchaguzi wa 2027. Gavana Stephen Sang na viongozi wengine wametaka hatua kali dhidi ya wizi wa mifugo eneo hilo.
#FATHERBETT #BETT

Subscribe to my youtube channel: / @KennedyMurithi001

Watch the latest video: / @KennedyMurithi001

—-Social Media— Twitter : KMB media Facebook: kennedyMurithi.3 Youtube: @KennedyMurithi001

Related posts

Our Channel Trouble in Paradise – Machakos Minority MCAs Sound Alarm on Speaker’s Impeachment Plot

KMB Media

Our Channel PS MARY MUTHONI SAYS GOVERNMENT COMMITTED TO TALKS WITH KMPDU

KMB Media

Inside Kenya’s Community Health Revolution: Meet the CHPs

KMB Media

Leave a Comment