KMB Media
Politics

CS Murkomen: Wauaji wa Kasisi Bett Hawataponea

Waziri wa Usalama wa Kitaifa Kipchumba Murkomen ameapa kuwa serikali haitalegeza juhudi zake za kuimarisha usalama hasa Kerio Valley, kufuatia mauaji ya kusikitisha ya Kasisi Allois Cheruiyot Bett. Akizungumza katika eneo la Kobujoi, Nandi, Murkomen amewataka wahalifu waache kusumbua wananchi na pia amewaonya wanasiasa wanaopanda mbegu ya chuki kabla ya uchaguzi wa 2027. Gavana Stephen Sang na viongozi wengine wametaka hatua kali dhidi ya wizi wa mifugo eneo hilo.
#FATHERBETT #BETT

Subscribe to my youtube channel: / @KennedyMurithi001

Watch the latest video: / @KennedyMurithi001

—-Social Media— Twitter : KMB media Facebook: kennedyMurithi.3 Youtube: @KennedyMurithi001

Related posts

WE MUST PROTECT WIDOWS – HARRIETTE CHIGGAI

KMB Media

UHURU MARKET TRADERS LOSE KIOSKS OVERNIGHT DEMOLITIONS

KMB Media

MPESA ATTENDANT SHOT DEAD IN DAYLIGHT ROBBERY AS GUNMEN ESCAPE WITH KSH 800,000

KMB Media

Leave a Comment