KMB Media
Politics

WETANG’ULA: DON’T DIVIDE WESTERN KENYA!

Viongozi wa Kenya kwanza wakiongozwa na spika wa bunge la kitaifa mosese wetangula wamesema hawatakubali kiongozi yeyote kutoka nje na hata eneo Hilo na haswa wale kutoka upinzani kugawanyisha eneo Hilo.Wasema wataendelea kupigania jamii hiyo kwa kuwaleta wabunge wote kutoka eneo Hilo pamoja jamii hiyo inapojipanga kwenye kura za mwaka wa 2027.Viongozi hao wamehapa kusaidia jamii hiyo kujiandikisha kama wapiga kura kwao ndio njia pekee itakayompa rais william ruto kabla ya kuchukua huongozi huo kutoka kwa rais william ruto mwaka wa 2032.

Related posts

BLOOD AND FEAR IN SIRISIA: MYSTERY DOG KILLING SHOCKS VILLAGE

KMB Media

“Stop Using Youth As Foot Soldiers!”, Caleb Amisi’s calls out Politicians

KMB Media

Witchcraft or science!!! The magic of Kyamwilu corner.

KMB Media

Leave a Comment